sw_tn/2pe/02/04.md

832 B

Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka

Hii inaanzisha Mpangilio wa sentensi zinazoanza na "kama"

bali aliwatupa kuzimu ("Tartarus)

"Tartarus

ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia

Mungu atawaweka katika gereza wakisubiri hukumu ya mwisho

Wala Mungu hakuuvumilia ulimwengu wa zamani...wakati alipoachilia gharika juu yaulimwengu ulioasi

Mungu aliuhribu ulimwengu wa zamani na watu waasi kwa gharika

Mungu aliihukumu miji ya Sodoma na Gomorra kiasi cha kuwa majivu

Mungu alitumia moto kuwaharibu watu wasi mcha Yeye katika miji ya Sodoma na Gomora

bali alimhifadhi Nuhu

Mungu alimwokoa mtu wa haki Nuhu katika gharika

ili iwe mfano kwa ajili ya watu waovu katika siku za usoni

kama vile Sodoma na Gomora ilivyoharibiwa kwa moto katika siku za usoni Mungu atawaharibu katika ziwa la moto.