sw_tn/2pe/01/08.md

398 B

mambo haya

haya mambo ni:- imani, uzuri, maarifa, kiasi, uvumilivu, utauw, upendo wa ndugu, na upendo.

"Ninyi hamtakuwa tasa au msiozaa matunda"

mtazaa matunda

yeyote asiyekuwa na mambo haya

mtu yeyote asiyekuwa na mambo haya

huyaona mabo ya karibu tu, yeye ni kipofu

usemi huu unamfananisha mtu anayefikiria mambo ya duniani tu kuwa yako vizuri mbele yake, kama mtu asiye na macho.