forked from WA-Catalog/sw_tn
398 B
398 B
mambo haya
haya mambo ni:- imani, uzuri, maarifa, kiasi, uvumilivu, utauw, upendo wa ndugu, na upendo.
"Ninyi hamtakuwa tasa au msiozaa matunda"
mtazaa matunda
yeyote asiyekuwa na mambo haya
mtu yeyote asiyekuwa na mambo haya
huyaona mabo ya karibu tu, yeye ni kipofu
usemi huu unamfananisha mtu anayefikiria mambo ya duniani tu kuwa yako vizuri mbele yake, kama mtu asiye na macho.