forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
387 B
Markdown
16 lines
387 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Hapa Isaya anaongea na Mfalme Hezekia. Anaendelea kutumia msambamba wowote.
|
|
|
|
# viotavyo porini
|
|
|
|
"viotavyo bila kupandandwa,"
|
|
|
|
# Mabaki ya nyumba ya Yuda ambayo yataokoka yatachukua tena mizizi na kuzaa matunda
|
|
|
|
"Watu wa Yuda waliosalia hai watafufuliwa uzima wao na ustawi."
|
|
|
|
# Wivu wa Yahwe wa majeshi utafanya hivyo
|
|
|
|
"Tendo thabiti la Yahwe litafanya hii itokee."
|