forked from WA-Catalog/sw_tn
837 B
837 B
Maelezo ya Jumla:
Mfalme Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe baada ya kupokea barua kutoka kwa Mfalme Senakeribu wa Ashuru.
Tega sikio lako, Yahwe, na usikie. Fungua macho yako, Yahwe, na tazama
Sentensi hizi zote zinamsihi Yahwe kuvuta usikivu kwa vitu ambavyo Senakaribu anasema.
Tega sikio lako, Yahwe, na usikie
Maneno "Tega sikio lako" na "sikia" vinamaanisha kitu kimoja ni yanaongeza msisitizo kwenye maombi. "Yahwe, tafadhali sikiliza anachokisema."
Fungua macho yako, Yahwe, na ona
Maneno "Fungua macho yako" na "ona" yanamaanisha kitu kimoja na kuongeza msisitizo kwenye maombi. "Yahwe, tafadhali kuwa makini kwa kile kinachotokea."
Wameweka miungu yao kwenye moto
Wafalme wa Ashuru wamewachoma miungu ya mataifa mengine.
Waashuru wamewaangamiza
Waashuru wameiangamiza miungu yote ya mataifa na mataifa.