sw_tn/2ki/16/15.md

8 lines
269 B
Markdown

# madhabahu kubwa
Hii inarejea kwa madhabahu ambayo Ahazi alimwambia Uria kuijenga.
# sadaka ya kuteketeza ya mfalme na sadaka ya unga
Wakati Ahazi aliposema "mfalme" na "vyake," alikuwa akijirejea yeye mwenyewe. "sadaka yangu ya kuteketeza na sadaka yangu ya unga"