forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
689 B
Markdown
20 lines
689 B
Markdown
# kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu
|
|
|
|
Haiko wazi kama neno "nyumba" hapa inarejea kwenye hekalu au jumba la kifalme.
|
|
|
|
# kumleta nje mwana wa mfalme
|
|
|
|
Yehoyada, kuhani mkuu, akamleta mwana wa mfalme, Yoashi, nje kutoka kwenye hekalu la fleti ambapo alipokuwa amefufuka kwa kujificha.
|
|
|
|
# kumpatia mikataba ya agano
|
|
|
|
"kumzawadia kwa kitabu cha sheria"
|
|
|
|
# kumpaka mfuta
|
|
|
|
Kuhani alimwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi kama ishara kwamba sasa alikuwa mfalme. "kumwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi"' (UDB)
|
|
|
|
# kupiga makofi
|
|
|
|
Kupiga makofi ilikuwa ishara ya furaha ya watu kwenye kupakwa mafuta ya mfalme mpya.
|