sw_tn/2ki/11/11.md

689 B

kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu

Haiko wazi kama neno "nyumba" hapa inarejea kwenye hekalu au jumba la kifalme.

kumleta nje mwana wa mfalme

Yehoyada, kuhani mkuu, akamleta mwana wa mfalme, Yoashi, nje kutoka kwenye hekalu la fleti ambapo alipokuwa amefufuka kwa kujificha.

kumpatia mikataba ya agano

"kumzawadia kwa kitabu cha sheria"

kumpaka mfuta

Kuhani alimwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi kama ishara kwamba sasa alikuwa mfalme. "kumwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi"' (UDB)

kupiga makofi

Kupiga makofi ilikuwa ishara ya furaha ya watu kwenye kupakwa mafuta ya mfalme mpya.