forked from WA-Catalog/sw_tn
689 B
689 B
kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu
Haiko wazi kama neno "nyumba" hapa inarejea kwenye hekalu au jumba la kifalme.
kumleta nje mwana wa mfalme
Yehoyada, kuhani mkuu, akamleta mwana wa mfalme, Yoashi, nje kutoka kwenye hekalu la fleti ambapo alipokuwa amefufuka kwa kujificha.
kumpatia mikataba ya agano
"kumzawadia kwa kitabu cha sheria"
kumpaka mfuta
Kuhani alimwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi kama ishara kwamba sasa alikuwa mfalme. "kumwagiwa mafuta ya mzaituni juu ya kichwa cha Yoashi"' (UDB)
kupiga makofi
Kupiga makofi ilikuwa ishara ya furaha ya watu kwenye kupakwa mafuta ya mfalme mpya.