forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
798 B
Markdown
36 lines
798 B
Markdown
# Ben Hadadi
|
|
|
|
Hili ni jina la mfalme wa Shami. Jina lake linamaanisha "mwana wa Hadadi."
|
|
|
|
# Hazaeli
|
|
|
|
Hili ni jina la kiume.
|
|
|
|
# Chukua zawadi
|
|
|
|
Hazaeli alichukua zawadi nyingi, sio moja tu. "chukua zawadi nyingi"
|
|
|
|
# katika mkono wako
|
|
|
|
Hili neno "katika mkono wako" ni lugha inayomaanisha kwake kuchukua zawadi pamoja naye. "pamoja nawe"
|
|
|
|
# mtu wa Mungu
|
|
|
|
Elisha, mtu wa Mungu"
|
|
|
|
# kushauriana na Yahwe kupitia yeye, kusema
|
|
|
|
"muulize Elisha kumwambia Yahwe"
|
|
|
|
# kubeba ngamia arobaini
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "alibeba ngamia arobaini"
|
|
|
|
# ngamia arobaini
|
|
|
|
"ngamia 40"
|
|
|
|
# Mtoto wako Ben Hadadi mfalme wa Shamii
|
|
|
|
Ben Hadadi hasa alikuwa mwana wa Elisha, lakini Hazaeli alimuita ili kwamba kuonyesha uhusiano wa karibu kati yao. "Ben Hadadi mfalme wa Shami, ambaye ni kama mtoto kwako,"
|