forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
612 B
Markdown
28 lines
612 B
Markdown
# Hapana
|
|
|
|
Huyu mtumishi anasema kwamba hakuna maaskari wa mfalme anayempatia habari mfalme wa Israeli.
|
|
|
|
# bwana wangu, mfalme
|
|
|
|
Hii inarejea kwa mfalme wa Shami.
|
|
|
|
# maneno uliyoyazungumza katika kitanda chako mwenyewe
|
|
|
|
"kile ulichokisema katika siri ya kitanda chako mwenyewe"
|
|
|
|
# Naweza kuleta watu na kumkamata
|
|
|
|
Mfalme anapanga kutuma watu kumkamata Elisha kwa ajili yake. Mfalme hapangi kumkamata yeye mwenyewe. "naweza kuleta watu kumkamata"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hili neno limetumika hapa kuvuta usikivu wa mfalme kwa kile alichokisema. "Siliza"
|
|
|
|
# Yupo Dotahazi
|
|
|
|
"Elisha yuko Dotahani"
|
|
|
|
# Dothani
|
|
|
|
Hili ni jina la mji.
|