forked from WA-Catalog/sw_tn
612 B
612 B
Hapana
Huyu mtumishi anasema kwamba hakuna maaskari wa mfalme anayempatia habari mfalme wa Israeli.
bwana wangu, mfalme
Hii inarejea kwa mfalme wa Shami.
maneno uliyoyazungumza katika kitanda chako mwenyewe
"kile ulichokisema katika siri ya kitanda chako mwenyewe"
Naweza kuleta watu na kumkamata
Mfalme anapanga kutuma watu kumkamata Elisha kwa ajili yake. Mfalme hapangi kumkamata yeye mwenyewe. "naweza kuleta watu kumkamata"
Tazama
Hili neno limetumika hapa kuvuta usikivu wa mfalme kwa kile alichokisema. "Siliza"
Yupo Dotahazi
"Elisha yuko Dotahani"
Dothani
Hili ni jina la mji.