sw_tn/2jn/01/07.md

841 B

Sentensi Unganishi

Yohana anawaonya kuhusu wazushi, na kuwakumbusha kubaki katika mafundisho ya Kristo na kujiepusha na waasi

Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu.

"Walimu wengi wa uongo wamekwisha liacha kusanyiko" au " wadanganyifu wengi wapo ulimwenguni"

wadanganyifu wengi.

"walimu wengi wa uongo" au "wazushi"

katika ulimwengu

Hapa inaelezea kila mtu aliyeko hai katika ulimwengu huu.

Yesu Kristo alikuja katika mwili.

"Yesu alikuja katika hali ya mwili wa kibinadamu."

Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo

" Ni wale wanaowadanganya wengine na kumpinga Kristo mwenyewe"

mpinga Kristo.

" kinyume na Kristo"

Jiangalieni wenyewe.

"Iweni macho" au " iweni waangalifu."

hampotezi mambo

"kutopoteza tuzo zenu za wakati ujao kule mbinguni."

tuzo kamili

"tuzokamili kule mbinguni"