sw_tn/2co/08/03.md

304 B

walitoa

Hapa ina maanisha makanisa ya Makedonia.

kwa hiari yao wenyewe

'kujitolea"

kwa kutusihi kwingi

Maneno "kutusihi" na "walituomba" hueleza maana ileile na kusisitiza uhodari amnbayo kwao watu waliwasihi.

huduma hii kwa waumini

Paulo anarejea kutoa fedha kwa waamini wa Yerusalemu.