sw_tn/2ch/29/08.md

12 lines
271 B
Markdown

# Wasi wasi, Hofu, kudharauliwa.
Haya yote ni maneno yanayoashiria kuwepo kwa hali mbaya ya kuogopa sana.
# Kama aamnavyoona kwa macho yenu.
"Kama mnavyoweza kuona wenyewe."
# Hii ndiyo maana mababu zetu walianguka kwa upanaga.
"Hivyo ndivyo baba zetu walivyouawa."