sw_tn/1ti/06/20.md

455 B

linda kile ulichopewa

kwa uaminifu hubiri ujumbe wa kweli ambao Yesu amekupa

epuka majadiliano ya kipumbavu

usitilie maanani majadiliano yasiyofaa

ambayo kwa uongo huitwa maarifa

ambayo kwa ujinga watu wengine huyaita maarifa

wameikosa imani

Paulo anazungumzia imani katika Kristo kama vile shabaha yetu

Neema na iwe pamoja nawe

Mungu awape neema ninyi nyote. Neno "ninyi" limetumiwa katika wingi na linarejelea jamii yote ya Wakristo.