forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
358 B
Markdown
20 lines
358 B
Markdown
# Bali wewe
|
||
|
||
Hapa "wewe" ipo katika umoja na inamaanisha Timotheo
|
||
|
||
# mtu wa Mungu
|
||
|
||
mtumishi wa Mungu
|
||
|
||
# huru mabali na hivi vitu
|
||
|
||
Paulo anaongea juu ya majaribu na dhambi kama vitu ambavyo mtu angeweza kuvikimbia
|
||
|
||
# ulitoa ushuhuda
|
||
|
||
ulishuhudia
|
||
|
||
# mbele ya mashahidi wengi
|
||
|
||
Paulo anaelezea wazo la eneo fulani ili kuonesha watu ambao Timotheo aliongea nao.
|