sw_tn/1ti/06/11.md

20 lines
358 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Bali wewe
Hapa "wewe" ipo katika umoja na inamaanisha Timotheo
# mtu wa Mungu
mtumishi wa Mungu
# huru mabali na hivi vitu
Paulo anaongea juu ya majaribu na dhambi kama vitu ambavyo mtu angeweza kuvikimbia
# ulitoa ushuhuda
ulishuhudia
# mbele ya mashahidi wengi
Paulo anaelezea wazo la eneo fulani ili kuonesha watu ambao Timotheo aliongea nao.