sw_tn/1ti/02/13.md

824 B

Adamu aliumbwa kwanza

"Adamu ni mtu wa kwanza ambaye Mungu alimuumba kwanza" au "Adamu aliumbwa kwanza na Mungu"

Baadaye Eva

"Baadaye Eva aliumbwa"

Adamu hakudanganywa

"Na adamu hakuwa wa kwanza kudanganywa na Nyoka"

lakini mwanamke alidanganywa na kukosa kabisa

"Kutotii amri za Mungu kwa sababu alikuwa alikuwa amedanganywa kabisa" lengo kuu katika kifungu hiki ni kuwa alikuwa Eva na siyo Adamu ambaye (Kwanza) hakutii sheria za Mungu.

Ataokolewa kwa kuzaa watoto

"Mungu atamweka salama bila shaka kupitia maisha ya kawaida"

Kama wataendelea

"Kama watabaki" au "Kama wataendelea kuishi"

katika Imani na upendo na utakaso

"Katika kumwamini Yesu na kuwapenda wengine na kuishi maisha matakatifu"

pamoja na uzima na akili njema

"na kuwa na kiasi" au "Na ufahamu wa kujua ni kipi kizuri zaidi"