sw_tn/1ti/02/05.md

753 B

Mjumbe mmoja kati ya Mungu na mtu

Mjumbe ni mtu anayesaidia kujadili ujumbe wa amani kati ya watu wawili ambao hawaelewani. hapa Yesu anawasaidia wenye dhambikuingia kwenye mahusiano ya Amani na Mungu.

akajitoa mwenyewe

"kufa kwa hiari

Kama fidia

"Kama bei ya uhuru" au "kama malipo ya kupata uhuru"

ushuhuda wa wakati mtimilifu

"Ushuhuda wake ni kwawakati mtimilifu" au "Ushuhuda wa wakati huu"

kwa kusudi hili

"Kwa hii" au "kwa sababu hii" au kwa ushuhuda huu"

nimefanywa kuwa mhubiri

"Nimechaguliwa kuwa mhubiri" au "nimechaguliwa na Kristo kuwa mhubiri"

Natamka ukweli

"Nazungumza ukweli" au "nakuambia ukweli"

Sisemi uongo

"Sidanganyi"

Katika Imani na kweli

"Kuhusu imani na kweli" au "Pamoja na imani na kweli"