sw_tn/1th/04/13.md

807 B

Maelezo ya jumla

Paulo anaongelea waamini walio kufa, walio hai, na ao watakao ishi Kristo akirudi.

Hatutaki msielewe.

"Tunataka muelewe"

Hatutaki

"Sisi" inawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike.

Ndugu

Hapa "ndugu" inamaanisha Mkristo mwenzako.

Kulala

Hapa inamaanisha "kufa."

Msiomboleze

"Msisikitike"

Kama hao wasiojua mambo yajayo

"Kama watu wasioamini"

Kama tukiamini

Hapa "sisi" linawaelezea Paulo na hadhira yake.

Kufufuka tena

"kufufuka na kuishi tena"

Atawaleta pamoja na Yesu hao waliolala mauti.

"akirudi atawafufua waamini waliokufa wakimwamini Yesu"

Kwa ajili ya hayo twasema

"Sisi" linawaelezea Paulo, Silvanus na Timotheo lakini sio waamini wa Thesalonike.

Hakika hatutawatangulia

"hakika hatutakwenda mbele yao"