sw_tn/1th/03/04.md

338 B

Ukweli dhabiti.

"bila shaka" au " uhakika"

Tulikuwa na wewe

Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus naTimotheo lakini sio waumini wa thesalonike.

Kupata mateso.

"kutendewa mabaya na wengine"

Sikuweza kuvumilia.

Kwa hapa " mimi" inamuelezea Paulo: nilitaka kujua.

Nilimtuma.

"Nilimtuma Timotheo"

Bure.

" Isiyofaa"