forked from WA-Catalog/sw_tn
338 B
338 B
Ukweli dhabiti.
"bila shaka" au " uhakika"
Tulikuwa na wewe
Neno "sisi" linawaelezea Paulo, Silivanus naTimotheo lakini sio waumini wa thesalonike.
Kupata mateso.
"kutendewa mabaya na wengine"
Sikuweza kuvumilia.
Kwa hapa " mimi" inamuelezea Paulo: nilitaka kujua.
Nilimtuma.
"Nilimtuma Timotheo"
Bure.
" Isiyofaa"