sw_tn/1sa/30/05.md

28 lines
540 B
Markdown

# Taarifa ya jumla:
Daudi anapata nguvu kwa Bwana baada ya uvamizi.
# Ahinoamu Myezreeli
"Ahinoamu toka Yezreeli"
# Nabali Mkarmeli
"Nabali toka Karmeli"
# Ahinoamu ... Abigaili
Haya ni majina ya wanawake
# dhiki
Mateso
# roho za watu wote zilihuzunika
"watu wote walikuwa tayari kuasi dhidi ya Daudi" au "watu wote hawakuwa na furaha"
# Daudi alijiimarisha katika BWANA, Mungu wake
Yaweza kuwa na maana ya 1) "Daudi alijiimarisha kwa sababu alijua kuwa Bwana Mungu wake atamsaidia" au 2) "Bwana Mungu wake alimpa nguvu Daudi"