forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
540 B
Markdown
28 lines
540 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Daudi anapata nguvu kwa Bwana baada ya uvamizi.
|
|
|
|
# Ahinoamu Myezreeli
|
|
|
|
"Ahinoamu toka Yezreeli"
|
|
|
|
# Nabali Mkarmeli
|
|
|
|
"Nabali toka Karmeli"
|
|
|
|
# Ahinoamu ... Abigaili
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanawake
|
|
|
|
# dhiki
|
|
|
|
Mateso
|
|
|
|
# roho za watu wote zilihuzunika
|
|
|
|
"watu wote walikuwa tayari kuasi dhidi ya Daudi" au "watu wote hawakuwa na furaha"
|
|
|
|
# Daudi alijiimarisha katika BWANA, Mungu wake
|
|
|
|
Yaweza kuwa na maana ya 1) "Daudi alijiimarisha kwa sababu alijua kuwa Bwana Mungu wake atamsaidia" au 2) "Bwana Mungu wake alimpa nguvu Daudi"
|