sw_tn/1sa/27/08.md

299 B

wakiteka nyara

Mara nyingi walivamia na kuchukua mali.

Wagirizi

Kundi la watu waliokuwa wakiishi kati ya Filistia na Misri.

uelekeo wa kwenda Shuri

"njiani ambapo watu wengi walisafiri kuelekea Shuri"

Shuri

Ni mkoa uliokuwepo kaskazini mwa mpaka wa Misri.

Akishi

Mfalme wa Gathi.