forked from WA-Catalog/sw_tn
428 B
428 B
Ahimeleki ... Abishai
Haya ni majina ya wanaume.
Seruya
Jina la mwanamke.
nitashuka ... mpaka
Inaonekana kuwa Daudi na watu wake walikuwa kilimani.
Mimi nitashuka
"nitaka kuwa mmoja ambaye nitashuka"
Mungu amemweka adui yako mkononi mwako
"Mungu amekupa kumtawala kabisa adui yako"
nimchome mkuki nimtoboe hadi chini kwa mkuki
"kumuua kwa mkuki"
Sitampiga mara mbili
"sihitaji kkumpiga mara ya mbili"