forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
428 B
Markdown
28 lines
428 B
Markdown
|
# Ahimeleki ... Abishai
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Seruya
|
||
|
|
||
|
Jina la mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# nitashuka ... mpaka
|
||
|
|
||
|
Inaonekana kuwa Daudi na watu wake walikuwa kilimani.
|
||
|
|
||
|
# Mimi nitashuka
|
||
|
|
||
|
"nitaka kuwa mmoja ambaye nitashuka"
|
||
|
|
||
|
# Mungu amemweka adui yako mkononi mwako
|
||
|
|
||
|
"Mungu amekupa kumtawala kabisa adui yako"
|
||
|
|
||
|
# nimchome mkuki nimtoboe hadi chini kwa mkuki
|
||
|
|
||
|
"kumuua kwa mkuki"
|
||
|
|
||
|
# Sitampiga mara mbili
|
||
|
|
||
|
"sihitaji kkumpiga mara ya mbili"
|