forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
426 B
Markdown
20 lines
426 B
Markdown
# Taarifa ya jumla:
|
|
|
|
Daudi anakubali ushauri wa Abigaili na zawadi zake.
|
|
|
|
# Bwana ... abarikiwe yeye
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama 1) "Namtukuza Bwana ... yeye" au 2) "watu wote wamtukuze Bwana ... yeye"
|
|
|
|
# Na hekima yako imebarikiwa, nawe umebarikiwa, kwa sababu
|
|
|
|
"Namshukuru Bwana kwa sababu amekubariki wewe kwa kukupa hekima na kwa sababu"
|
|
|
|
# kumwaga damu
|
|
|
|
mauaji
|
|
|
|
# kwa mkono wangu mwenyewe
|
|
|
|
"kwa matendo yangu mwenyewe"
|