forked from WA-Catalog/sw_tn
511 B
511 B
Mikali.... alimpenda Daudi
Hapa "kupendwa" maana yake alikuwa na hisia za kimapenzi kwa Daudi.
Akamuambia Sauli
Hapa "wao" inahusisha watu ambao walijua kuhusu hisia za Mikali, si kwa Daudi na Mikali.
hivyo mkono wa Wafilisti pengine uwe juu yake
Kumharibu mtu kunazungumzwa kama kunaweka mtu chini ya mwingine. Hapa, Sauli akimaanisha kumwua Daudi. Tazama jinsi ulivyotafasiri maneno sawa katika 18:17. AT "ili Wafilisti wasimwue"
Wewe utakuwa mkwe wangu
mkwewe - "utakuwa mume wa binti yangu"