forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
389 B
Markdown
20 lines
389 B
Markdown
# Sauli alipomuona Daudi
|
|
|
|
Mazungumzo katika 17:55-56 yalitokea kabla Daudi hajamuua Goliati.
|
|
|
|
# akienda kukabiliana na yule Mfilisti
|
|
|
|
"akienda kupigana na Mfilisti"
|
|
|
|
# kijana huyu ni mtoto wa nani
|
|
|
|
"baba yake na huyu kijana ni nani"
|
|
|
|
# Kama uishivyo
|
|
|
|
Hii ni namna ya kuapa na kuonesha kuwa anayotaka kuyasema ni kweli.
|
|
|
|
# mvulana huyu ni kijana wa nani
|
|
|
|
"baba yake na kijana huyu ni nani"
|