sw_tn/1sa/16/17.md

226 B

mwenye nguvu, mtu jasiri

Yaweza kuwa na maana ya 1) "shujaa" au 2) "mtu mwenye hekima"

mwenye busara aongeapo

"anayeongea kwa busara"

Bwana yuko pamoja naye

Hii inamaanisha kuwa Bwana alimsaidia na kumbariki Daudi.