sw_tn/1sa/15/34.md

319 B

Rama ... Gibea

Haya ni majina ya mahali.

akapanda kwenda nyumbani kwake Gibea

Gibea ilikuwa juu kuliko Gilgali ambapo Sauli na Samweli walikuwa wakizungumza.

Samweli hakumuona tena Sauli hadi siku ya kifo chake

Hii inaonesha kuwa Samweli alikufa mbele ya Sauli lakini hakumuona Sauli tena kipindi akiwa hai.