forked from WA-Catalog/sw_tn
424 B
424 B
Kweli kabisa niliitii sauti ya Bwana.
Sentensi hii haipo wazi kama Sauli alifikiri kuwa hili ni kweli au alikuwa akijitetea kwa sababu ya dhambi yake.
Sauti ya Bwana
"Vitu ambavyo Bwana ameamuru"
Lakini watu walichukua
Hapa anahamisha lawama kwa watu.
vitu vilivyokusudiwa kuangamizwa
Wanyama ambao Bwana aliamuru waharibiwe"
Gilgali
Hili ni jina la mahali.
Agagi
Hili ni jina la mfalme wa Waameleki.