forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
546 B
Markdown
16 lines
546 B
Markdown
# paja lililokuwa limeinuliwa katika dhabihu
|
|
|
|
Kuhani aliyeinua paja katika dhabuhu ndiye anayepaswa kula. Samweli alimfanya Sauli ale ili kuonesha kuwa kuwa mfalme ni kazi takatifu.
|
|
|
|
# Kilichokuwa pamoja nayo
|
|
|
|
Yaweza kuwa na maana ya 1)chakula kingine ambacho Sauli alikula pamoja na nyama au 2) sehemu nyingine ya ng'ombe.
|
|
|
|
# Kisha Samweli akasema
|
|
|
|
Hii yaweza kuwa na maana ya "Mpishi akasema."
|
|
|
|
# Na kwa sasa waweza kusema, 'Nimewaalika watu.'
|
|
|
|
Yaweza kuwa na maana ya 1) Sauli anaweza kusema kuwa aliwaalika watu au 2) Samweli aliwaalika watu
|