forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
496 B
Markdown
20 lines
496 B
Markdown
# Watu
|
|
|
|
Askari waliokuwa wakipigani vitani.
|
|
|
|
# Kwa nini BWANA ametushinda leo mbele ya Wafilisti? Hebu tulilete
|
|
|
|
Wazee hawakujua kwa nini Bwana amewashinda lakini walifikiri kuwa wanafahamu namna ya kufanya ili hali hiyo isijirudie tena.
|
|
|
|
# akaaye juu ya makerubi
|
|
|
|
Japokuwa Bwana yupo kila mahali alijionesha mwenyewe kwa wana wa Israeli juu ya makerubi waliokuwepo juu ya sanduku.
|
|
|
|
# Finehasi
|
|
|
|
Finehasi huyu hakuwa mjukuu wa Haruni katika Kutoka na Hesabu.
|
|
|
|
# Walikuwepo huko
|
|
|
|
Walikuwepo Shilo.
|