forked from WA-Catalog/sw_tn
496 B
496 B
Watu
Askari waliokuwa wakipigani vitani.
Kwa nini BWANA ametushinda leo mbele ya Wafilisti? Hebu tulilete
Wazee hawakujua kwa nini Bwana amewashinda lakini walifikiri kuwa wanafahamu namna ya kufanya ili hali hiyo isijirudie tena.
akaaye juu ya makerubi
Japokuwa Bwana yupo kila mahali alijionesha mwenyewe kwa wana wa Israeli juu ya makerubi waliokuwepo juu ya sanduku.
Finehasi
Finehasi huyu hakuwa mjukuu wa Haruni katika Kutoka na Hesabu.
Walikuwepo huko
Walikuwepo Shilo.