forked from WA-Catalog/sw_tn
335 B
335 B
nitamwinua ... kuhani wangu mwaminifu
"Nitamfanya mtu awe kuhani"
kwa ajili yangu
"anitumikie mimi"
kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu
"Ninachotaka afanye na nitakachomwambia afanye"
Nitamjengea nyumba madhubuti
Hapa "nyumba" imeelezewa kama "uzao." Nitahakikisha kuwa uzao wake unatumika kama kuhani mkuu.