forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
633 B
Markdown
24 lines
633 B
Markdown
# akatawala kwa miaka miwili
|
|
|
|
"akatawala kwa miaka 2"
|
|
|
|
# akafanya yaliyo maovu mbele za BWANA
|
|
|
|
"yale ambayo BWANA aliyaona kuwa ni maovu"
|
|
|
|
# akatembea katika njia za baba yake, katikanjia za mama yake, na katika njia za Yeroboamu mwana wa Nebati
|
|
|
|
"Alifanya sawa na baba yake alivyofanya, mama naYeroboamu mwana wa Nebati alivyofanya"
|
|
|
|
# aliifanya Israeli kufanya dhambi
|
|
|
|
Neno "Israeli" linmaanisha makabila kumi ya dola ya Israeli iliyokuwa kaskazini
|
|
|
|
# Alimtumika Baali na kumwabudu
|
|
|
|
"Alimtumikia" na "kumwabudu" maneno hayo yanamaanishakitu kimoja.
|
|
|
|
# Mungu wa Israeli
|
|
|
|
"Israeli" linamaanishaWaisraeli wote waliotokana na Yakobo.
|