sw_tn/1ki/22/51.md

633 B

akatawala kwa miaka miwili

"akatawala kwa miaka 2"

akafanya yaliyo maovu mbele za BWANA

"yale ambayo BWANA aliyaona kuwa ni maovu"

akatembea katika njia za baba yake, katikanjia za mama yake, na katika njia za Yeroboamu mwana wa Nebati

"Alifanya sawa na baba yake alivyofanya, mama naYeroboamu mwana wa Nebati alivyofanya"

aliifanya Israeli kufanya dhambi

Neno "Israeli" linmaanisha makabila kumi ya dola ya Israeli iliyokuwa kaskazini

Alimtumika Baali na kumwabudu

"Alimtumikia" na "kumwabudu" maneno hayo yanamaanishakitu kimoja.

Mungu wa Israeli

"Israeli" linamaanishaWaisraeli wote waliotokana na Yakobo.