forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
385 B
Markdown
20 lines
385 B
Markdown
# Je, umeua na kujimilikisha?
|
|
|
|
Umemwua Nabothi na kuiba shamba lake la mizabibu?
|
|
|
|
# damu yako, ndiyo, damu yako
|
|
|
|
Neno limerudiwa ili kusisitiza
|
|
|
|
# Je, umenipatia, adui yangu
|
|
|
|
"umegundua kile nilichofanya, adui yangu!"
|
|
|
|
# umejiuza mwenyewe kufanya yaliyo maovu
|
|
|
|
"umejitoa mwenyewe kufanya yaliyi maovu"
|
|
|
|
# yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA
|
|
|
|
"yale ambayo BWANA huyaona kuwa ni maovu"
|