sw_tn/1ki/21/15.md

242 B

Nabothi ameshapigwa mawe na alikuwa amekufa

"kwamba watu walikuwa wamempiga mawe Nabothi na alikuwa amekufa"

Nabothi hayuko hai, bali amekufa

Maneno haya mawili yanafanana kwa maana. Yametumika kuonesha msisitizo kuwa Nabothi amekufa.