sw_tn/1ki/13/04.md

350 B

Na ile madhabahu ikavunjika vipande vipande, na majivu yakamwagika kutoka madhabahuni

"Mungu akazivunja zile madhabahu na akayamwaga yale majivu kutoka madhabahuni"

kama iloivyokuwa imefafanuliwa kuwa ndiyo ishara ya kwamba mtu wa Mungu alikuwa amepewa kwa neno la Mungu

"kama ishara ambayo mtu wa Mungu alikuwa amefafanua kwa neno la BWANA"