sw_tn/1ki/11/34.md

344 B

Taarifa kwa ujumla

Ahiya anaendelea kumwambia Yeroboamu kile ambacho BWANA alisema.

Sitauchukua

"Neno "si" linamaanisha BWANA

kwenye mkono wa Sulemani

"toka kwenye mamlaka ya Sulemani"

Nitampa

Neno "m" Yeroboamu.

atabaki kuwa nuru mbele yangu

"daima kutakuwa na kizazi kitakachotawala ili kuwa ukumbusho wa familia ya Daudi"