forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
300 B
Markdown
12 lines
300 B
Markdown
# Ijapokuwa hekalu hili limetukuka sasa
|
|
|
|
"japokuwa hekalu hili ni kubwa na zuri"
|
|
|
|
# atasituka na kuzomea
|
|
|
|
"ataonyesha mshangao na kutoa sauti ya dharau"
|
|
|
|
# wameinamia na kuiabudu
|
|
|
|
Virai hivi vinamaanisha kitu kilekile. Kirai "kuiinamia" kinaonyesha kitendo ambacho watu hutumia wa wakati wa kuabudu.
|