sw_tn/1ki/09/01.md

906 B

Sulemani

Sulemani alikuwa mwana wa mfalme Daudi ambaye alikuwa mtoto wa Bthisheba.

nyumba

neno nyumba limetumika kama lugha ya umbo katika biblia. Wakati mwingine limemaanisha "wanafamilia", wakati mwingine limemaanisha uzao wa mtu fulani, na wakati mwingine limemaanisha Hekalu au masikani ya BWANA. Pengine limemaanisha watu wa Mungu na wakati mwingine taifa la Israeli.

BWANA

Neno "BWANA" ni jina binafsi la Mungu ambalo lilijifunua wakati wa Mungu alipojidhihirisha kwa Musa kwenye kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto.

mfalme

Neno "mfalme" linamaanisha mtu mwenye mamlaka makubwa ya mji, serikali au ya nchi.

Ikulu

Neno "ikulu" linamaanisha nyumba anayoishi mfalme, pamoja n a wanafamilia wake, na watumishi wake.

Gibioni, Wagibioni

Gibioni ni mji uliokuwa umbali wa kilomita 13 kaskazini m ashariki mwa Yerusalemu. Watu waliokuwa wakiishi kwenye huo mji waliitwa Wagibioni.