forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
906 B
Markdown
24 lines
906 B
Markdown
|
# Sulemani
|
||
|
|
||
|
Sulemani alikuwa mwana wa mfalme Daudi ambaye alikuwa mtoto wa Bthisheba.
|
||
|
|
||
|
# nyumba
|
||
|
|
||
|
neno nyumba limetumika kama lugha ya umbo katika biblia. Wakati mwingine limemaanisha "wanafamilia", wakati mwingine limemaanisha uzao wa mtu fulani, na wakati mwingine limemaanisha Hekalu au masikani ya BWANA. Pengine limemaanisha watu wa Mungu na wakati mwingine taifa la Israeli.
|
||
|
|
||
|
# BWANA
|
||
|
|
||
|
Neno "BWANA" ni jina binafsi la Mungu ambalo lilijifunua wakati wa Mungu alipojidhihirisha kwa Musa kwenye kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto.
|
||
|
|
||
|
# mfalme
|
||
|
|
||
|
Neno "mfalme" linamaanisha mtu mwenye mamlaka makubwa ya mji, serikali au ya nchi.
|
||
|
|
||
|
# Ikulu
|
||
|
|
||
|
Neno "ikulu" linamaanisha nyumba anayoishi mfalme, pamoja n a wanafamilia wake, na watumishi wake.
|
||
|
|
||
|
# Gibioni, Wagibioni
|
||
|
|
||
|
Gibioni ni mji uliokuwa umbali wa kilomita 13 kaskazini m ashariki mwa Yerusalemu. Watu waliokuwa wakiishi kwenye huo mji waliitwa Wagibioni.
|