sw_tn/1ki/07/34.md

356 B

Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makaliio

"Kulikuwa na mataruma katika kila upande wa kalio"

kina cha sentimita ishirini na tatu

sentimita ishirini na tatu ni sawa na "nusu ya dhiraa moja"

na juu ya makalio mashikio yake na papi zakae zikawa zimeshikanishwa

"Huramu alishikamanisha mashikio yake na papi na juu ya kila kalio"