sw_tn/1ki/07/30.md

482 B

magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne

kulikuwa na pini moja kwa kila jozi yamagurudumu. "magurudumu manne napini mbili"

pande zake nne

"pande nne za kila kwa kila kalio"

Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo

"Huramu aliweka mataruma yenye vipande vya sura ya masongo"

na ile taji ilikuwa

Neno "taji" inamaanisha kipande cha mviringo kilichokuwa kimesimama wazi ili kibebe yale makalai.

na papi zake zilikuwa za maraba

Tazama 7:27