sw_tn/1ki/06/37.md

325 B

mwaka wa nne ... mwaka wa kumi na moja

Hii ni miaka inayohesabiwa tangu Sulemani alipokuwa mfalme

Nyumba ya BWANA

"hekalu"

katika mwezi wa Ziv

Tazama 6:1

Katika mwezi wa Buli

"Buli" ni mwezi wa nane wa kalenda Kihebrania. Mwezi huu uko katika ya sehemu ya mwezi Oktoba na sehemu ya kwanza ya mwezi wa Novemba.