forked from WA-Catalog/sw_tn
325 B
325 B
mwaka wa nne ... mwaka wa kumi na moja
Hii ni miaka inayohesabiwa tangu Sulemani alipokuwa mfalme
Nyumba ya BWANA
"hekalu"
katika mwezi wa Ziv
Tazama 6:1
Katika mwezi wa Buli
"Buli" ni mwezi wa nane wa kalenda Kihebrania. Mwezi huu uko katika ya sehemu ya mwezi Oktoba na sehemu ya kwanza ya mwezi wa Novemba.