sw_tn/1ki/05/06.md

370 B

Taarifa kwa ujumla

Sulemani anaendelea kuongea na mfalme Hiramu juu ya ujenziwa hekalu

Lebanoni

Mfalme Hiramu alikuwa mfalme wa mji wa Tiro, ambao ulikuwa kwenye eneo hilohilo ambalo kwa leo linaitwa Lebanoni

Hakuna mtu miongoni mwetu anayejua kukata miti kama Wasidoni

"Wafanya kazi wako wanajua kukati miti kuliko watu wangu"

Wasidoni

"Watu wa Sidoni"