sw_tn/1ki/05/01.md

498 B

Taarifa kwa ujumla

Sulemani anaongea na mfalme Hiramu juu ya ujenzi wa hekalu

kwani Hiramu alimpenda Daudi

"kwa kuwa Hiramu alikuwa rafiki wa karibu wa Daudi"

kwa kuwa wakati wa uhai wake BWANA alikuwa akiwaweka adui zake chini ya nyayo za miguu yake

"BWANA alikuwa akimsadia Daudi kuwashinda adui zake" au"Daudi alikuwa na majukumu mengi kwa kuwa BWANA alikuwa akimpatia ushindi dhidi ya adui zake."

kujenga nyumba kwa jina la BWANA

"kujenga hekalu ambalo kwalo tutamwabudu BWANA"