sw_tn/1ki/04/15.md

16 lines
289 B
Markdown

# Taarifa kwa ujumla
Mwenedelezo wa wakuu wa ofisi ya Sulemani
# Ahimaazi
Yeye alikuwa anatoka kabila la Naftali na laimwoa Basemathi
# Baana
Baba yake, Husahi, alikuwa anatoka kabila ya Asheri na alimwoa Bealothi.
# Yehoshafati
Baba yake, Parua, alikuwa anatoka kabila ya Isakari.