sw_tn/1ki/04/15.md

289 B

Taarifa kwa ujumla

Mwenedelezo wa wakuu wa ofisi ya Sulemani

Ahimaazi

Yeye alikuwa anatoka kabila la Naftali na laimwoa Basemathi

Baana

Baba yake, Husahi, alikuwa anatoka kabila ya Asheri na alimwoa Bealothi.

Yehoshafati

Baba yake, Parua, alikuwa anatoka kabila ya Isakari.